LEBRON JAMES ADOKEZA MPANGO WA KUINGIA KWENYE MUZIKI KWA KUACHIA ALBUM.

You are currently viewing LEBRON JAMES ADOKEZA MPANGO WA KUINGIA KWENYE MUZIKI KWA KUACHIA ALBUM.
  • Post category:Burudani

Mchezaji wa mpira wa kikapu kutoka nchini Marekani Lebron james anayeichezea klabu ya lakers ni mmoja kati ya wachezaji wengi wanaopenda muziki.

Kwa mapenzi makubwa aliyonayo kwenye muziki lebron james ameweka wazi mpango wake wa kuja na album ya rap, katika album hiyo hatochana ila ana mpango wa kuwakusanya wasanii mbalimbali wa rap ambao ni marafiki zake ili kukamilisha album hiyo.

Lebron james ameweka wazi mpango wake huo kupitia ukurasa wake wa Twitter na tayari mashabiki mbalimbali wameanza kuisubiri kwa hamu album hiyo huku watu wengi wakitarajia kumuona rapa Jay z ndani kwa sababu ni rafiki mzuri wa Lebron James.

Robert Elim

Robert Elim better known as Mtoto wa Nyumbani Roba is a new shade of light on the mainstream radio scene! He host an Entertainment show called Interact that usually runs every Monday to Friday from 1:00 PM to 4:00 PM and Interact Extra that runs every Saturday from 10:00 AM to 1:00 PM. Follow him on Twitter and Instagram @robertchiwawa