KAUNTI YA UASIN GISHU YAPOKEA DOZI 30,000 ZA CHANJO YA COVID-19.

You are currently viewing KAUNTI YA UASIN GISHU YAPOKEA DOZI 30,000 ZA CHANJO YA COVID-19.

Kaunti zilizoko Kaskazini mwa Bonde la Ufa zimepokea dosi alfu 60 za chanjo ya ugonjwa wa COVID-19.

Kaunti ya Uasin Gishu ambako chanjo hiyo inahifadhiwa imepokea dosi alfu 30 ya chanjo hiyo zitakazosambazwa kwa kaunti zote za Kaskazini mwa Bonde la Ufa.

Waziri wa Afya kaunti ya Uasin Gishu Everlyn Rotich amesema wahudumu wa afya, maafisa wa usalama pamoja na walimu katika kaunti hiyo watapokea chanjo hiyo katika vituo vya huruma na hospitali ya rufaa na mafunzo Eldoret ambazo zitapoke dosi alfu 15 na dosi alfu 6 mtawalia.

Robert Elim

Robert Elim better known as Mtoto wa Nyumbani Roba is a new shade of light on the mainstream radio scene! He host an Entertainment show called Interact that usually runs every Monday to Friday from 1:00 PM to 4:00 PM and Interact Extra that runs every Saturday from 10:00 AM to 1:00 PM. Follow him on Twitter and Instagram @robertchiwawa