KAUNTI YA POKOT MAGHARIBI YAWEKA MIKAKATI KABAMBE KUKABILI JANGA LA CORONA

Gavana wa kaunti ya Pokot Magharibi John Lonyangapuo ameelezea utayari wa kaunti yake kukabiliana na virusi vya Corona endapo itatangazwa.

Akizungumza na kituo hiki kwa njia ya kipekee Lonyangapuo amesema tayari vitanda 10 vya wagonjwa mahututi vimetengwa katika hospitali ya Rufaa ya Kapenguria huku pia vituo tofauti  vikitengwa katika maeneo mbalimbali kaunti hiyo.

Aidha amekiri kuwepo na changamoto ya kifedha akisema wengi wakaazi wa kaunti ya Pokot Magharibi kwa sasa wanakabiliwa na makali ya njaa baada ya kutii agizo la serikali la kusalia majumbani kutokana na tishio la Corona.

Robert Elim

Robert Elim better known as Mtoto wa Nyumbani Roba is a new shade of light on the mainstream radio scene! He host an Entertainment show called Interact that usually runs every Monday to Friday from 1:00 PM to 4:00 PM and Interact Extra that runs every Saturday from 10:00 AM to 1:00 PM. Follow him on Twitter and Instagram @robertchiwawa