KANYE WEST AWEKA WAZI SABABU ZA MKEWE KIM KARDASHIAN KUDAI TALAKA.

You are currently viewing KANYE WEST AWEKA WAZI SABABU ZA MKEWE KIM KARDASHIAN KUDAI TALAKA.
  • Post category:Burudani

Rapa kutoka nchini Marekani Kanye West anaamini sababu za mkewe  Kim Kardashian kudai talaka ni kutokana na yeye kuutaka Urais wa Marekani mwaka 2020.

Juzi kati  Kim Kardashian aliwasilisha mahakamani ombi la talaka kutaka kuachana na Kanye West.

Baada ya tamko hilo, Kanye West alianza kuwatumia watu ujumbe mfupi na wengine kuwapigia simu akizungumzia ishu hiyo.

Mtandao wa PEOPLE umeripoti kwamba malalamiko  makubwa ya kanye West yamekuwa kwenye majuto, moja wapo likiwa la kuwania Urais wa Marekani kwa sababu Kim kardashian hakumtaka afanye jambo hilo.

Robert Elim

Robert Elim better known as Mtoto wa Nyumbani Roba is a new shade of light on the mainstream radio scene! He host an Entertainment show called Interact that usually runs every Monday to Friday from 1:00 PM to 4:00 PM and Interact Extra that runs every Saturday from 10:00 AM to 1:00 PM. Follow him on Twitter and Instagram @robertchiwawa