JOHN NG’IMOR: MTAALA WA CBC BADO KIZUNGUMKUTI KWA WALIMU WENGI

You are currently viewing JOHN NG’IMOR: MTAALA WA CBC BADO KIZUNGUMKUTI KWA WALIMU WENGI

Mtaala mpya wa elimu CBC huenda ikakosa kuafikia malengo yake humu nchini kutokana na changamoto za kifedha.

Kulingana na mmoja wa wasomi katika kaunti ya Pokot Magharibi John Ng’imor ili kufanikisha mtaala huo fedha nyingi zitahitajika kuboresha miundo msingi sawa na kuchapisha vitabu vya gredi mbalimbali.

Aidha anasema walimu wataofundisha mtaala huwo ni wachache mno huku pia akiibua maswali kuhusu hatma ya walimu wengi ambao walipata mafunzo kupitia mtaala wa 8-4-4.

Robert Elim

Robert Elim better known as Mtoto wa Nyumbani Roba is a new shade of light on the mainstream radio scene! He host an Entertainment show called Interact that usually runs every Monday to Friday from 1:00 PM to 4:00 PM and Interact Extra that runs every Saturday from 10:00 AM to 1:00 PM. Follow him on Twitter and Instagram @robertchiwawa