JAY Z KUISAIDIA FAMILIA YA NIPSEY HUSSLE KUPITIA MAPATO YA WIMBO WAKE WA “WHAT IT FEELS LIKE”

You are currently viewing JAY Z KUISAIDIA FAMILIA YA NIPSEY HUSSLE KUPITIA MAPATO YA WIMBO WAKE WA “WHAT IT FEELS LIKE”
  • Post category:Burudani

Msanii nguli wa muziki wa hipop nchini marekani Jay-Z ni mwingi wa kutoa na ndio maana anaongezewa zaidi, sasa rapa huyo ameahidi kuchangia nusu ya malipo yake kutoka kwenye wimbo wa “What It Feels Like” kwenda kwa familia ya marehemu Nipsey Hussle.

Baada ya  kutoka kwa wimbo huo ambao ameshirikiana na Nipsey Hussle, Jay-Z amezungumza na jarida la GQ na kusema kiasi alicholipwa na waandaaji wa filamu ya ‘Judas and the Black Messiah’ hivyo atatoa nusu  ya pesa hizo kwenda kwa familia ya Nipsey lakini pia nusu nyingine ataipatia familia ya Fred Hampton, ambaye alikuwa mwanaharakati na kiongozi wa chama cha Black Panther ambaye aliuawa mwaka wa 1969.

Robert Elim

Robert Elim better known as Mtoto wa Nyumbani Roba is a new shade of light on the mainstream radio scene! He host an Entertainment show called Interact that usually runs every Monday to Friday from 1:00 PM to 4:00 PM and Interact Extra that runs every Saturday from 10:00 AM to 1:00 PM. Follow him on Twitter and Instagram @robertchiwawa