HARMONIZE AWAHIMIZA WASANII WA BONGOFLEVA KUTUMIA LUGHA YA KIINGEREZA KWENYE NYIMBO ZAO.

You are currently viewing HARMONIZE AWAHIMIZA WASANII WA BONGOFLEVA KUTUMIA LUGHA YA KIINGEREZA KWENYE NYIMBO ZAO.
  • Post category:Burudani

Staa wa muziki nchini Tanzania, msanii Harmonize amewahimiza wasanii wa Bongo fleva kutumia lugha ya kiingereza kwenye nyimbo zao.

Harmonize ambaye amepata mafanikio makubwa kupitia nyimbo zake 2, ambazo ni ‘Bedroom’ na ‘Falling in Love’ alizoimba kwa lugha hiyo, amesema lengo kuu ni kuutangaza muziki wa bongofleva  kimataifa.

Ikumbukwe Harmonize kwa sasa yupo mbioni kuachia album yake mpya ambayo amesema itakuwa na nyimbo ambazo ameziimba kwa lugha ya kiingereza.

Robert Elim

Robert Elim better known as Mtoto wa Nyumbani Roba is a new shade of light on the mainstream radio scene! He host an Entertainment show called Interact that usually runs every Monday to Friday from 1:00 PM to 4:00 PM and Interact Extra that runs every Saturday from 10:00 AM to 1:00 PM. Follow him on Twitter and Instagram @robertchiwawa