GRAVITY OMUTUJJU AFUNGUKA SABABU ZA KUTOMUUNGA MKONO JOSE CHAMELEONE KWENYE WADHFA WA UMEYA-KAMPALA.

You are currently viewing GRAVITY OMUTUJJU AFUNGUKA SABABU ZA KUTOMUUNGA MKONO JOSE CHAMELEONE KWENYE WADHFA WA UMEYA-KAMPALA.
  • Post category:Burudani

Rapa kutoka nchini Uganda Gravitty Omutujju amefunguka sababu za kutomuunga mkono msanii Jose Chameleone kwenye kinyanganyiro cha umeya wa Jiji la Kampala katika uchaguzi uliokamilika majuzi nchini humo.

Akiwa kwenye moja ya Interview Omuttujju amesema mwanamuziki huyo hakuwahi kuomba uungwaji mkono kutoka kwake, hivyo wakati mpinzani wake Erias Lukwago alipokuja kumuomba usaidizi wake hakuwa na budi ya kupigia debe kwenye kinyanganyiro cha umeya.

Hata hivyo amekana taarifa zinazotembea kwenye mitandao ya kijamii kuwa ana ugomvi na Jose Chameleone huku akisema kuwa hana utofauti wowote na msanii huyo licha ya  kutomuunga mkono kwenye uchaguzi wa umeya wa Jiji la Kampala uliokamilika.

Robert Elim

Robert Elim better known as Mtoto wa Nyumbani Roba is a new shade of light on the mainstream radio scene! He host an Entertainment show called Interact that usually runs every Monday to Friday from 1:00 PM to 4:00 PM and Interact Extra that runs every Saturday from 10:00 AM to 1:00 PM. Follow him on Twitter and Instagram @robertchiwawa