FACEBOOK YAONDOA ZUIO DHIDI YA MAUDHUI YA HABARI AUSTRALIA

You are currently viewing FACEBOOK YAONDOA ZUIO DHIDI YA MAUDHUI YA HABARI AUSTRALIA

Kampuni ya Facebook imesema itarejesha maudhui ya taarifa za Habari kwa Watumiaji Nchini Australia baada ya kuyafungia mwishoni mwa wiki iliyopita.

Facebook ilichukua hatua hiyo kufuatia mvutano kuhusu upendekezaji wa Sheria ambayo italazimu Mtandao huo pamoja na Google kuwalipa wachapishaji wa habari kwa taarifa zao.

Serikali ya Australia na Facebook zimetangaza kufikia makubaliano baada ya mazungumzo kadhaa kati ya pande hizo mbili.

Robert Elim

Robert Elim better known as Mtoto wa Nyumbani Roba is a new shade of light on the mainstream radio scene! He host an Entertainment show called Interact that usually runs every Monday to Friday from 1:00 PM to 4:00 PM and Interact Extra that runs every Saturday from 10:00 AM to 1:00 PM. Follow him on Twitter and Instagram @robertchiwawa