DRAKE AACHIA “SCARY HOURS 2” EP YENYE NGOMA 3,AWASHIRIKISHA LIL BABY NA RICK ROSS.

You are currently viewing DRAKE AACHIA “SCARY HOURS 2” EP YENYE NGOMA 3,AWASHIRIKISHA LIL BABY NA RICK ROSS.
  • Post category:Burudani

Rapa kutoka marekani Drake ameachia rasmi  EP yake mpya iitwayo “Scary Hours 2”  yenye jumla ya ngoma 3. 

Drake ameachia project hiyo usiku wa kuamkia jana ikijumuisha mikwaju mizito kama; Whats Next, Wants and Needs akimshirikisha Lil Baby na Lemon Pepper Freestyle ambayo amempa shavu Rick Ross.

Hizi ni dalili za ujio wa album yake mpya iitwayo “Certified Lover Boy” ambapo kama utakumbuka mwezi Januari, mwaka  wa 2018 Drake aliachia project iitwayo Scary Hours yenye ngoma mbili, ikafuatiwa na album ya “Scorpion” iliyoachiwa mwezi Juni, mwaka wa 2018.

Robert Elim

Robert Elim better known as Mtoto wa Nyumbani Roba is a new shade of light on the mainstream radio scene! He host an Entertainment show called Interact that usually runs every Monday to Friday from 1:00 PM to 4:00 PM and Interact Extra that runs every Saturday from 10:00 AM to 1:00 PM. Follow him on Twitter and Instagram @robertchiwawa