CIRCUTE AUKOSOA WIMBO WA “NAIROBI” WAKE BENSOUL.

You are currently viewing CIRCUTE AUKOSOA WIMBO WA “NAIROBI” WAKE BENSOUL.
  • Post category:Burudani

Hitmaker wa ngoma ya “Manyake” Circute ameukosoa wimbo wa Bensoul uitwa “Nairobi” kwa madai kwamba wimbo huo unakwenda kinyume na maadili ya jamii.

Kupitia mitandao yake ya kijamii Circute amesema ingawa mdundo wa wimbo huo ni mzuri, maudhui yake yanahimizi watu kushiriki na kuendeleza uesharati.

Akijibu kuhusu kauli ya Circute, Bensoul amesema hayo ni maoni ya msanii huyo na hayatamfanya aache kuzungumza ukweli kwenye nyimbo zake.

Robert Elim

Robert Elim better known as Mtoto wa Nyumbani Roba is a new shade of light on the mainstream radio scene! He host an Entertainment show called Interact that usually runs every Monday to Friday from 1:00 PM to 4:00 PM and Interact Extra that runs every Saturday from 10:00 AM to 1:00 PM. Follow him on Twitter and Instagram @robertchiwawa