SERIKALI KUZINDUA AINA MPYA YA MBEGU YA MAHINDI
Serikali ya kitaifa inatarajiwa kuzindua aina mpya ya mbegu ya mahindi ambayo inazalisha zaidi kando na gharama ya chini ya matumizi kuelekea ukuzaji wa zao hilo. Mbegu hiyo ambayo inaitwa…
Serikali ya kitaifa inatarajiwa kuzindua aina mpya ya mbegu ya mahindi ambayo inazalisha zaidi kando na gharama ya chini ya matumizi kuelekea ukuzaji wa zao hilo. Mbegu hiyo ambayo inaitwa…
Waziri wa maji Sicily Kariuki amezuru Kaunti ya Pokot Magharibi kukagua miradi ya unyinyiziaji maji mashamba ya Chesakat iliyoko eneo bunge la Sigor na Kases eneo bunge la Kacheliba. Akizungumza…
Wahudumu wa boda boda kote nchini wanatarajiwa kupokea mafunzo kuhusu sheria za barabarani, ujuzi wa kuendesha pikipiki sawa na ujasiriamali katika biashara hiyo. Mkurugenzi katika Mamlaka ya Usalama Barabarani NTSA…
Wanafunzi wote katika shule za umma nchini wanatarajiwa kunufaika na zaidi ya barakoa milioni 4 kutoka kwa Shirika la Kusambaza Dawa nchini KEMSA. Kulingana na Kaimu Afisa Mkuu wa KEMSA…
Viongozi mbalimbali akiwemo Rais Uhuru Kenyatta wanaendeleo kutuma risala za rambirambi kwa familia ya seneta wa kaunti ya Garissa Yusuf Hajji ambaye amefarika alfajiri ya leo katika hospitali ya Aga…
Gavana wa Kaunti ya Nakuru Lee Kinyanjui ameunga mkono uamuzi wa Tume ya kuratibu mishahara ya wafanyikazi wa umma SRC kuwapa ruzuku ya magari Wawakilishi Wadi kote Nchini. Kinyanjui anasema…
Msemaji wa serikali kanali mstaafu Cyrus Oguna amewaonya wakenya dhidi ya kutapeliwa kulipia ada ili kupata kadi zao za huduma namba kwani hakuna ada yoyote inayotozwa wananchi kupokea kadi hizo.…
Muungano wa Maafisa wa Kliniki nchini umetoa onyo kwa Waziri wa Afya Mutahi Kagwe kwamba utamchukulia hatua kali za kisheria kwa madai ya kusitisha marupurupu ya kufanya kazi katika mazingira…
Serikali imeendelea kuwaonya vikali wanasiasa ambao wanaotoa jumbe zinazowezakusababisha chuki nchini hasa wakati huu ambapo serikali inajiandaa kwa uchaguzi mkuu ujao Msemaji wa serikali Kadinali mstaafu Cyrus Oguna amesema idara…
Tee billz ambaye ni mume wa zamani wa Tiwa Savage anaamini hakuna msanii yeyote wa kuanzia mwaka wa 1900 hadi 2021 ambaye anaweza kumshinda mke wake wa zamani kwenye muziki.…