BOSS MOG AWEKA WAZI KUWA NDIYE MWANDISHI WA NGOMA MPYA YA VIVIAN NA KANSOUL IITWAYO “SECRET LOVER”.

You are currently viewing BOSS MOG AWEKA WAZI KUWA NDIYE MWANDISHI WA NGOMA MPYA YA VIVIAN NA KANSOUL IITWAYO “SECRET LOVER”.
  • Post category:Burudani

Nyota muziki wa Injili nchini, Boss MOG ambaye pia anafahamika kama mtunzi na mwandishi wa nyimbo hapa nchini, ameweka wazi kuwa yeye ndiye mwandishi wa ngoma mpya ya Msanii Vivian akiwa na Mejja pamoja na Madtraxx iitwayo “Secret Lover”

Boss MOG ambaye alikuwa anaunda kundi la MOG, naye ana kazi yake mpya iitwayo “Amenitendea”, yenye maudhui ya kumshukuru Mungu kutokana na matatizo ambayo watu wananipitia katika maisha yao kila siku.

Sasa kupitia ukurasa wake wa Instagram , Boss MOG ameandika, “  Go watch this amazing song by Vivian ft the kansol written by Boss Himuselfu???? .”

Wimbo huo uliotoka Januari 18 mwaka huu, inazidi kufanya vizuri kwenye platforms mbali mbali za kusikilizia muziki duniani ikiwa ni kazi ya pili kutoka kwa Vivian pamoja na The Kansoul kwani kipindi cha nyuma walifanya ngoma ya pamoja iitwayo Accelerator.

Robert Elim

Robert Elim better known as Mtoto wa Nyumbani Roba is a new shade of light on the mainstream radio scene! He host an Entertainment show called Interact that usually runs every Monday to Friday from 1:00 PM to 4:00 PM and Interact Extra that runs every Saturday from 10:00 AM to 1:00 PM. Follow him on Twitter and Instagram @robertchiwawa