BEBE COOL ADINDA KUZUNGUMZIA SAKATA LA GARI LINALOMKABILI BOB WINE

You are currently viewing BEBE COOL ADINDA KUZUNGUMZIA SAKATA LA GARI LINALOMKABILI BOB WINE
  • Post category:Burudani

Bosi wa lebo ya muziki ya Gagamel msanii Bebe Cool anajulikana sana kwa kumshambulia Bob Wine kila mara kwenye masuala mengi yanayohusu nchini Uganda.

Na mara nyingi kitu chochote kikitokea mashabiki wengi wa muziki nchini Uganda huwa na matarajio makubwa kuwa Bebe Cool hawezi kumzaza Bob Wine lakini inaonekana mambo yamebadilika.

Kwenye moja ya interview bebe cool amedinda kuzungumzia sakata la gari la kifahari lilomkabili Bob Wine.

Bebe Cool  ambaye wiki iliyopita alidai anamiliki gari la kuzuia risasi kama la Bob Wine, amesema haoni kitu cha maana cha  kuzungumzia kuhusiana na sakata la Bob Wine.

Kutokana hilo ametoa wito kwa mashabiki wa muziki nchini Uganda kuangazia mambo ya maendeleo kuliko kuzungumzia sakala la Bob Wine ambalo halina tija kwa  jamii..

Robert Elim

Robert Elim better known as Mtoto wa Nyumbani Roba is a new shade of light on the mainstream radio scene! He host an Entertainment show called Interact that usually runs every Monday to Friday from 1:00 PM to 4:00 PM and Interact Extra that runs every Saturday from 10:00 AM to 1:00 PM. Follow him on Twitter and Instagram @robertchiwawa