ALIYEKUWA MPENZI WA MSANII KING SAHA “JOWERIAH ALI” ATOA WITO KWA WASANII UGANDA KUMPELEKA KING SAHA REHAB.

You are currently viewing ALIYEKUWA MPENZI WA MSANII KING SAHA “JOWERIAH ALI” ATOA WITO KWA WASANII UGANDA KUMPELEKA KING SAHA REHAB.
  • Post category:Burudani

Mapema mwaka wa 2020 bosi wa lebo ya muziki ya Gagamel, Bebe Cool alimuonya msanii King Saha aache kutumia mihadarati kwa sababu inaathiri shughuli za kimuziki ya msanii huyo.

Sasa hatua  hiyo haikupokelewa na baadhi ya wadau wa muziki nchini Uganda ambao walienda mbali na kumshambulia King Saha bila uoga huku wakimtaka msanii akome kutumia dawa za kulevya.

Mwaka mmoja sasa umepita na King Saha inaoneka hajeacha matumizi ya mihadarati kwani aliyekuwa mpenzi wake Joweriah Ali ameoneshwa kusikitishwa na namna msanii huyo anaendelea kutumia mihadarati.

Kupitia mitandao yake ya kijamii amewataka wasanii wa muziki nchini Uganda kuungana na kumpeleka msanii huyo kwenye kituo cha matibabu ya watumiaji wa pombe na mihadarati kabla ya umauti kumkuta.

Robert Elim

Robert Elim better known as Mtoto wa Nyumbani Roba is a new shade of light on the mainstream radio scene! He host an Entertainment show called Interact that usually runs every Monday to Friday from 1:00 PM to 4:00 PM and Interact Extra that runs every Saturday from 10:00 AM to 1:00 PM. Follow him on Twitter and Instagram @robertchiwawa