ALBAMU MPYA KUTOKA KWA RAYVANNY “SOUND FROM AFRICA” KUTOKA MUDA WOWOTE KUTOKA SASA

You are currently viewing ALBAMU MPYA KUTOKA KWA RAYVANNY “SOUND FROM AFRICA” KUTOKA MUDA WOWOTE KUTOKA SASA
  • Post category:Burudani

Msanii kutoka lebo ya WCB Rayvanny yupo tayari kuiboresha playlist yako hivi karibuni ,kwa mujibu wa Rayvanny anasema albamu yake ya kwanza kutoka studio “Sound From Africa” imekamilika kwa 99% .

Rayvanny ametoa taarifa hiyo kupitia ukurasa wake wa instagram ambapo ameandika “My Albam Sound From Africa 99% ” hii ina maana muda wowote tunaweza kuipokea albam hii ya kwanza kutoka kwa msanii huyo ambaye tayari alifanikiwa kuachia EP yake inayofahanika kama #Flowers

Wakati tunakaa tayari kuipokea albam hiyo inayoweza kutoka muda wowote pia bado tuunamsubiri Rayvanny kuitambulisha lebo yake rasmi ambayo mwisho wa mwaka jana aliahidi kuja na lebo hiyo.

Robert Elim

Robert Elim better known as Mtoto wa Nyumbani Roba is a new shade of light on the mainstream radio scene! He host an Entertainment show called Interact that usually runs every Monday to Friday from 1:00 PM to 4:00 PM and Interact Extra that runs every Saturday from 10:00 AM to 1:00 PM. Follow him on Twitter and Instagram @robertchiwawa