AKINA MAMA POKOT MAGHARIBI WASHAURIWA KUWAPA WANAO LISHE BORA.

Akina mama wametakiwa kuhakikisha watoto wanapata lishe bora ili kuwawezesha kukua na kuimarika kiafya.

Mtaalamu wa maswala ya lishe bora katika Hospitali ya Rufaa ya Kapenguria Jane Limang’ura anasema mtoto anafaa kunyonyeshwa kwa kipindi cha miezi sita kabla ya kupewa vyakula vingine vyenye madini

Aidha Limang’ura amewataka akina mama kutembelea vituo vya afya wanapokuwa wajawazito ili kuelimishwa kuhusiana na mbinu za kuhimarisha lishe kwa manufaa ya wanao.

Robert Elim

Robert Elim better known as Mtoto wa Nyumbani Roba is a new shade of light on the mainstream radio scene! He host an Entertainment show called Interact that usually runs every Monday to Friday from 1:00 PM to 4:00 PM and Interact Extra that runs every Saturday from 10:00 AM to 1:00 PM. Follow him on Twitter and Instagram @robertchiwawa